23 Apr 2016

TAZAMA MAKTABA YA SHULE YA MSINGI ALIYOSOMA MWALIMU NYERERE,NI SHULE YA MSINGI MWISENGE

Samani zilizomo ndani ya maktaba hiyo kabla ya kuwekwa vitabu.Maktaba hiyo imejengwa na kuwekwa samani pamoja na vitabu na shirika la HakiElimu ikiwa ni njia mojawapo ya kumuenzi baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere.

Muonekano wa pembeni ndani ya maktaba ya Shule ya Msingi Mwisenge.Mwl Nyerere alisoma shule hii.


Maktaba inavyoonekana kwa nje


Nukuu ya maneno ya Mwalimu Nyerere kuhusu elimu ikiwa ndani ya maktaba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni