23 Apr 2016

HICHI NDICHO KITUO CHA REDIO NA TV KITAKACHOIPA HESHIMA LUGHA YA 'KISWAHILII' KWA KUTUMIA LUGHA HII KAMA JINA LA KITUO HICHO.

Afrika Swahili media ni kituo cha Redio na Tv Kinachoipa heshima lugha ya Kiswahili kwa kutumia lugha hio kama jina halisi la kituo hicho yani yani 'SWAILI FM' Na 'SWAHILI TV'.
Kituo hicho kinatarajiwa kufunguliwa ndani ya wiki mbili zijazo nchini hapa ambapo studio za Redio hii zitakua mkoani Morogoro na za TV zitakua Dar Es Salaam.
Kituo hichi kimejizatiti kuajiri vijana wengi wa kitanzania wenye taranta na vipaji mbalimbali kwenye Sanaa hususa Utangazaji.
Frequency za redio hio ni 93.1 Morogoro.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni